
mwenyekiti wa chadema mbowe akiwasili makao makuu ya jeshi LA polisi akiwa na wafuasi wake

naibu katibu mkuu wa chama John mnyika akizungumza na wandishi wa habari waliofika kituoni hapo

makamu mwenyekiti wa chadema frof.Abdallah safari na wakiri wa chama,wakiri wa mbele marando wakiwasili makao makuu ya jeshi la polisi

baadhi ya wanachama na wafuasi wa chadema wakishangilia mwenyekiti kufika hapo

kamishna wa police Cp Paul chagonja akiwataka wanachama na wafuasi kuondoka akidai hawana cha kufanya kwenye mahojiano hayo

baadhi ya askari police wakiangalia usalama
TOA MAONI YAKO
posted from Bloggeroid
No comments:
Post a Comment